Lakini pia wanashauri ya kuwa kuwa akiba pekee haitoshi, bali muwekaji wa akiba huyo kile alichokiweka akiba baada ya muda fulani anatakiwa kufanya uwekezaji.
Uwekezaji ambao utazifanya fedha ziweze kujazalisha maradufu zaidi ya zilivyokuwa hapo awali wakati wa uwekaji akiba.
Na katika hili tunakumbushwa pia ya kuwa kwenye kila fedha tunayoipata baadala ya kufanya matumizi yasiyokuwa na tija basi tufanya fedha hizo zijizalishe zenyewe kupitia uwekezaji.
.png)
0 Comments