Mark Twain anatukumbusha sana mimi na wewe ya kuwa, "Huwezi kufanikiwa bila kibali chako mwenyewe" hii ikiwa na maana ya kwamba mtu yeyote ambaye anataka kufanikiwa akatika uso huu wa dunia basi anakiwa kuwa tayari kuweza kukabiliana na kila changamoto na raha zitakazosaidia kupata mafanikio hayo.

0 Comments