Kupitia andiko hilo nikajifunza kuwa kwenye maisha haya tuepuka sana kusababisha matatizo ambayo yana athari kwenye maisha yetu.
Kwa mfano kama wewe ni mwanafunzi soma sana, usije ukawa husomi harafu badae ukaja kulamu.
Kama wewe ni mlezi walee wanao katika maadili yaliyo mema, maana kama hutofanya hivyo watoto wakija kukua katika maadili yasiyo mema huenda ukaanza kulalama hapo baadae.
Kila kitu kifanye kwa usahihi ili kuepuka msiba wa kujitakia kwani kilio chake utalia mwenyewe.
Anyway jioni njema ndugu yangu wacha niendelee kuangalia mbungi (mpira) kutoka Ivory Cost.
Imeandikwa na Benson Chonya

0 Comments