Mahitaji
1.
Ufuta kg2
2.
Sukari 1/4
3.
Kinu
4.
Sufuria
5.
Mwiko
6.
Maji
7.
Beseni/ ndoo
8.
Kibao
9.
Jiko
Jinsi
ya kutengeneza
1.
Chukua ufuta petana toa takataka
zote.
2.
Kisha tia ndani ya sufuria weka
maji osha na chekecha michanga km unavyo chekecha mchele kutoa mchanga kisha
chuja maji na uanike juani ukikauka chukua kinu safi anza kuukoboa.
3.
Ukimaliza upete kuondoa pumba na
uukaange kidogo mpaka unukie na kuwa brown ya mbaali kisha chukua sufuria weka
sukar na ubandike jikoni.
4.
Kisha koroga mpaka sukar ilainike
na uweke ufuta wako kisha geuza geuza mpaka ichanganyike na ishikane.
5.
Weka juu ya meza au sinia na
ubandebande ukiwa wamoto kisha kata umbo upendalo tayr kwa kula au biashara.
Imeandikwa na Afisa Mipango Benson Chonya kwa msaada wa
mtandao.
0 Comments