BREAKING ARTICLES

6/recent/ticker-posts

Usalama wa chakula kwa mlaji

 


Mambo makuu ya kuzingatia  .

1.Osha mikono yako vizuri kwa maji tiririka. 

2.Osha mbogamboga na matunda vizuri. 

3.Pika nyama na hakikisha inaiva vizuri .

4.Usiache chakula wazi kwa muda mrefu .

5.Hakikisha unapasha chakula vizuri kabla yakula kama kililala(kiporo).

6.Kuwa makini na vyakula vya kupewa na mtu usiyemfahamu .


Imeandikwa na DK. Harun Mmari

Kama unahitaji ushauri wowote wakiafya wasiliana na Dk. Harun Mmari kwa nambari 0625940497


Post a Comment

0 Comments