BREAKING ARTICLES

6/recent/ticker-posts

Kuwaita watoto majina mabaya huharibu saikolojia yao, soma hapa

Kuwaita watoto majina mabaya  mfano mbwa ,ng'ombe,paka n.k pale wanapokosea huwa huwajengi ,huharibu  sana saikolojia zinazoongoza makuzi yao

Ni busara kama watoto wataelekezwa kwa Upendo ,umri wao watoto wadogo huhitaji busara zaidi kuliko vitisho

Imeandikwa na DK. Harun Mmari

Kama unahitaji ushauri wowote wakiafya wasiliana na Dk. Harun Mmari kwa nambari 0625940497


Post a Comment

0 Comments