BREAKING ARTICLES

6/recent/ticker-posts

Hamasa ya mafanikio ya leo

 


Acha kuuchanganya ubongo wako kwa kuupa vitu ambavyo huvihitaji. Kwa lugha  rahisi waza vitu ambavyo unavihitaji katika maisha yako. Tofauti na hapo utakuwa unajichanganya sana kwa kuufanya ubongo wako ushindwe kuelewa kipi unachokitaka na kipi hukitaki.

Unataka mafanikio tulia, tambua ni kipi unachokitaka na ukifanyie kazi hicho kila siku. Ila ukiwa ni mtu wa tamaa mara unataka hiki mara kile  itakupelekea kupata matokeo ambayo siyo sahihi katika maisha yako na usishangae ukishindwa kufanikishakaribu kila kitu. kumbuka kila wakati Contradicting desires create contradicting results.

Post a Comment

0 Comments